Jux Unaniweza Lyrics

Abbah


[Verse 1: Jux]

Pindi ukicheka we, Mi moyo unanitabasamu

Huwa mwenye kujihisi mororo

Ila ukilia wee, Hata kula nakosa hamu

Huwa mwenye kujihisi mdororo


[Hook: Jux]

Ukiwa karibu na mie, Najiona bora

Lakini ukiwa mbali, baby, baridi linachoma

Uwepo wako we na mie, Umetia fora

We ndio dakitari, Darling, Nikitaka kupona


[Bridge: Jux]

Unaniweza weza

Unaniweza weza

Unaniweza weza

Unaniweza weza


[Verse 2: Jux]

Sitamani mwingine, Wala sidhani ka ataweza kutokea

Maana mambo yako moto moto, Moto

Labda upite ushetani mwingine, Maneno ya watu nishazoea i don't care

Kila kukicha choko choko, Choko, choko

Unavyonipa raha, Ndiyo nanepa mie

Penzi lako natinga, navimba nabembea

Kinachokufaaa, Usisite niambie

Kwako niko radhi hata zege nibebe, Machinga nidadishee


[Hook: Jux]

Ukiwa karibu na mie, Najiona bora

Lakini ukiwa mbali, baby, baridi linachoma

Uwepo wako we na mie, Umetia fora

We ndio dakitari, Darling, Nikitaka kupona


[Bridge: Jux]

Unaniweza weza

Unaniweza weza

Unaniweza weza

Unaniweza weza


[Outro]

Unaniweza weza, for love

For love

Unaniweza weza, for love

For love

I do it for love

Unaniweeeza


Abbah

Comments

Popular posts from this blog

SEFILA MEDLEY LYRICS WITH TRANSLATION BY buhle zulu FT.JOYOUS CELEBRATION 24

Download Splendid Cartoons - FEVER STEW mp4

Download Splendid Cartoons - SIDE CHICK 19 (Concluding part of Season One) mp4